Sunday, April 16, 2017

UCHAMBUZI JUVENTUS V BARCELONA

JUVENTUS V BARCELONA

MAMBO NILIYOYAONA KATIKA MCHEZO HUU

1.Juventus wana team work nzuri
Achana na kucheza kwa kila mtu kwa uwezo wake (individual work) linapokuja suala la kucheza as team work juventus walicheza vyema kuna Kipindi hata mshambuliaji wao Manduzikc alifanya Defense role instead of attacking the enemy team.

2.Cuadrado,Manduzikc,Dyabala na Higuain waliwatesa Barcelona.

Achana na ubora wa Kipa wala viungo wa juventus kitu kingine kilichowapa shida Barcelona ni jinsi ya kuwakaba hawa watu wanne .Waliweza kupanda kwa pamoja kushambulia hali iliyotengeneza presha kubwa katika safu ya ulinzi ya Barcelona.

Goli la kwanza la Juventus ilikuwa ni 8 barce players against those players mentioned above ,Umakini mkubwa uliwawezesha kupata goli hilo

Pia walitengeneza nafasi kadhaa japo hazikuweza kutumika vyema.

3.Dyabala ana taswira nyingine katika soka la ulaya
Msimu uliopita walikuwa na Paul pogba walicheza vizuri.Msimu huu kazidi kutuonyesha taswira tofauti.Alikuwa makini kila anapokuwa na mpira alipiga mashuti 3 huku akifunga magoli 2.

Kuelekea mchezo wa pili atatazamwa sanw pale Nou camp.

4.Ukabaji wa Juventus uliwatesa Barcelona.

Juventus waliwakaba Barcelona kuanzia juu kitu kilichowafanya Barcelona kushindwa kucheza kwa kujiachia na Barcelona kushambulia kuanzia nyuma.

5.Bosquets ni mchezaji muhimu Barcelona.
Kumkosa Bosquets ilikuwa tatizo kwa Barcelona kukiwafanya kuwa dhaifu sana.Kumbuka Barcelona walikuwa wanacheza na moja kati ya timu iliyokamilika barani ulaya.

6.Uzoefu wa Juventus utawapa shida Barcelona Nou camp.
Katika mechi 4 Barcelona hawajashida Turin (sare  2 na kupoteza 2) .Pia Juventus wanauzoefu na michuano hii uongozi wa 3- 0 ni faida kwao.

Ahsanteni

No comments:

UTAWALA WA KIHASPANIOLA KATIKA SOKA LA ULAYA

WAHISPANIA WAMETAWALA SOKA LA ULAYA.WAKATI WA KUJIULIZA Msimu uliopita Seville walitwaa ubingwa wa Ueropa league kwa kuifinga Liverpool 3-1...