Tuesday, December 20, 2016

WACHINA TWENDENI TUSIRUDI NYUMA

Na Timotheo s john

Kuna mwanadamu mmoja alishawahi kusema kinachomfanya mtu kufanikiwa ni kwanza kujielewa,Kujituma,Kuwa mbunifu na kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa.Huenda mwanadamu huyo alikuwa sahihi lakini kuna kitu kimoja alisahau kukitaja kuwa ni kutokata tamaa pale unapohitaji kufanikiwa huku malengo ukiwa umejiwekea na Mambo yake manne umetimiza.

Miaka 200-350 (karne mbili hadi nne zilizopita ) Uingereza ndiyo ilikuwa Dora tajiri zaidi duniani kutokana na shughuli mbalimbali kama vile Biashara hasa ya viwanda.Kwa kipindi hiki sio Marekani wala China alifikia nusu ya mafanikio hayo.Miaka ikasonga Majirani (Ufaransa,Italy na Ujerumani Wakarudi nyuma wakaiba teknolojia ya mwingereza na wakaiboresha zaidi ).Unajua kipi kilitokea???

Uingereza alizidi kudidimia baadaye yaani kufikia mwaka 1776 mmarekani alipata Uhuru kutika kwa Mwingereza .Waingereza hapa wananifurahisha kwa mambo kadhaa mojawapo walikuwa na viwanda Vingi nchini Marekani baada ya Marekani kupata Uhuru Uingereza ilupoteza viwanda vile hivi walijua nchi ya kwao ile??? Kwa sasa wamebakiza historian tu kuwa wamewahi kuwa wazalishaji na taifa tajiri zaidi duniani.

Mmarekani kwa sasa kiuchumi yupo katika climax (hauwezi kuongezeka bali unaweza kupungua) kwa sasa wao hawajali hiyo wanafikiria kuhama dunia hii tulitopo kwa sababu sio pahala salama mi nasubiri tu unajua kwa mini?? Muda ndio utaamu kama karne kadhaa zilizopita.

Kuna nyakati mwanadamu anaishi anavyotaka yeye.Kuna kipindi Monaco walinyanyasa sana sio kimpira Bali kutumia pesa ..Kuna Nyakati hakuna timu ambayo ilipenda kushindana na real Madrid katika usajili pia kuna nyakati Bayern Munich anharibu radha ya bundesliga kutokana na Pesa zake.

Kuna nyakati mwanadamu analipwa zaidi ya 1.5 billions za kitanzania katika soka hakuna anayehoji zaidi wale wakubwa kuulizana inakuwaje hapa?? Jamaa wamekuja tena kwa kasi sina si wengine wamefanya mengi katika teknolojia..uchumi na sasa Wamegundua huu ni wakati WA kuingia katika soka.Wanalila vizuri wanajua kujitangaza maisha yanasonga.

Unamkumbuka Carlos tevez yule jamaa WA west ham...Manchester city...Manchester united na juventus juzi akiwa kwa watoto WA Ghetto alikuwa akiwaaga rasmi anaenda china  kunusa pesa.Ndiyo ni Suala la Muda tu .

Tevez atakuwa akilipwa £615,000 pauni kwa wiki ambazo ni sawa na 1.84 5billions za kitanzania nani anajali pia atakuwa akiingiza £31. 98millions per year zaidi ya Messi na Ronaldo

Kama oscar emoeba dos santos akijunga huyu atakuwa akilipwa £400000 kwa wiki sawa na 1.2 billions za kitanzania maisha yanataka nini zaidi ??? kuna hawa jamaa wanaitwa Hebei wao wanamtaka sanchez watakuwa wakimlila pauni 500000.

Wakati fujo China zinaendelea  katika  soka Hebei wanekuja tens wanamtaka Messi unaujua mshahara wake?? Wamemwambia watampatia £100 millions per year hii ni Mara  3ya zile ambazo Tevez atakuwa akilipwa pale Shaghai Shenua Sipg maisha yanataka nini zaidi???

Kwa bahati nzuri rais wao Xi jinoing ni mpenda mchezo wa fooball.Wachina wanekuja nyakati hizi wanalipa vizuri kuna kitu wanakitaka karika dunia yenye ubabe wa kila aina.Kwa sasa Macho yangu yapo ulaya lakini akiki na masikio IPO china

Kwa bahati nzuri kwa sasa China ndiye mzalishaji mkuu WA bidhaa nyingi hapa duniani amechoka huko alipo anataka kuja huku acha tusubiri safari hii ya Wetlands .Mpaka sasa wanasifa moja ya kujituma kuelekea mafanikio acha tusubiri Mudaa utawahukumu.

UTAWALA WA KIHASPANIOLA KATIKA SOKA LA ULAYA

WAHISPANIA WAMETAWALA SOKA LA ULAYA.WAKATI WA KUJIULIZA Msimu uliopita Seville walitwaa ubingwa wa Ueropa league kwa kuifinga Liverpool 3-1...