Sunday, July 10, 2016

MAMBO UNAYOTAKIWA KUJUA KUELEKEA FAINALI YA UERO

Na Timotheo S John

-Hii ni Mara ya 4 kwa timu hizi kukutana katika mashindano makubwa huku Ufaransa wakiwa wameshinda mechi 3 zote ni katika
nusu fainali ya Uero 1994,Uero 2000 na kombe la dunia 2006

-Ureno wamecheza mechi nyingi za michuano ya ulaya bila kushinda (34) huku Cristiano Ronaldo aliyesawa magoli kwa ufungaji na
platin ndiye mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi (20)

-Ureno hawajafungwa katika mechi 13 chini ya Fernando Santos (kushinda 9 na sare 4) huku ushindi dhidi ya wales ukiwa ni ushindi wao
wa kwanza kushinda zaidi ya goli 1.

-Ureno wamefungwa goli 1 katika hatua ya mtoano kwenye mechi 5 za karibuni.Mwaka huu walifungwa na Poland.

-Ufaransa hawajapoteza katika mechi 18 walizocheza katika ardhi ya nyumbani (kushinda 16 sare 2) Mara ya mwisho kupoteza ilikuwa July mwaka 1960 dhidi ya Czechoslovakia.

-Ufaransa ndio timu pekee iliyotwaa kombe hili Mara 3 sawa na Hispania pia na ujerumani.

-Kama ufaransa watatwaa kombe hili Didier Deschamps atakuwa mtu wa pili kutwaa kombe hili akiwa mchezaji pia kocha wa kwanza kufanya hivyo ni Bergi Vogets kutoka ujerumani

UTAWALA WA KIHASPANIOLA KATIKA SOKA LA ULAYA

WAHISPANIA WAMETAWALA SOKA LA ULAYA.WAKATI WA KUJIULIZA Msimu uliopita Seville walitwaa ubingwa wa Ueropa league kwa kuifinga Liverpool 3-1...