Sunday, July 10, 2016

MAMBO UNAYOTAKIWA KUJUA KUELEKEA FAINALI YA UERO

Na Timotheo S John

-Hii ni Mara ya 4 kwa timu hizi kukutana katika mashindano makubwa huku Ufaransa wakiwa wameshinda mechi 3 zote ni katika
nusu fainali ya Uero 1994,Uero 2000 na kombe la dunia 2006

-Ureno wamecheza mechi nyingi za michuano ya ulaya bila kushinda (34) huku Cristiano Ronaldo aliyesawa magoli kwa ufungaji na
platin ndiye mchezaji aliyecheza mechi nyingi zaidi (20)

-Ureno hawajafungwa katika mechi 13 chini ya Fernando Santos (kushinda 9 na sare 4) huku ushindi dhidi ya wales ukiwa ni ushindi wao
wa kwanza kushinda zaidi ya goli 1.

-Ureno wamefungwa goli 1 katika hatua ya mtoano kwenye mechi 5 za karibuni.Mwaka huu walifungwa na Poland.

-Ufaransa hawajapoteza katika mechi 18 walizocheza katika ardhi ya nyumbani (kushinda 16 sare 2) Mara ya mwisho kupoteza ilikuwa July mwaka 1960 dhidi ya Czechoslovakia.

-Ufaransa ndio timu pekee iliyotwaa kombe hili Mara 3 sawa na Hispania pia na ujerumani.

-Kama ufaransa watatwaa kombe hili Didier Deschamps atakuwa mtu wa pili kutwaa kombe hili akiwa mchezaji pia kocha wa kwanza kufanya hivyo ni Bergi Vogets kutoka ujerumani

No comments:

UTAWALA WA KIHASPANIOLA KATIKA SOKA LA ULAYA

WAHISPANIA WAMETAWALA SOKA LA ULAYA.WAKATI WA KUJIULIZA Msimu uliopita Seville walitwaa ubingwa wa Ueropa league kwa kuifinga Liverpool 3-1...