Wednesday, March 30, 2016

UCHAMBUZI:EGYPT WANAHITAJI POINT 1 STARS POINTS 6

Na Timotheo john

Ushindi wa goli 2-0 dhidi ya Cape Verde unawafanya Morroco kuwa timu ya kwanza kufuzu Afcon mwakani.Ushindi huo unafanya Morroco kutimiza point 12 (Wamefuzu) Cape Verde 6 huku Libya na Sao tome  3.Ambapo hata wakishinda michezo iliyosaria hawatafikisha point 12 (umesalia mchezo 1)

Goli  la Ramadhani Sobhy limeitupa Nigeria nje katika Michuano hiii.Egypt ndio vijafa point  7 Nigeria 2 (Wametolewa) na Tanzania 1.Michezo miwili ya Tanzania dhidi ya Nigeria (ugenini) na ule wa Egypt (Nyumbani) itaamua Egypt au Tanzania mmoja kufuzu.

Lakini Egypt wanahitaji sare tu dhidi ya Tanzania ili waweze kufuzu huku Tanzania wakihitaji ushindi kwenye michezo yote miwili.Endapo Stars watafanikiwa kukusanya point 6 itaangaliwa Goal difference.

Goal difference
Egypt 4 v Tanzania -3
Ushindi wa 3-0 dhidi ya Stars,Sare ya 1-1 dhidi ya Nigeria na Ushindi wa 1-0 dhidi ya Nigeria unawafanya Egypt kufunga jumla ya magoli 5 na kufungwa 1 katika michuano hii.Iwa maana hiyo Mpaka sasa Egpyt wana magoli 4 ya kufunga huku wakiwa hawajaruhusu goli (kimahesabu).

Kufungwa kwa stars 3-0 na Egypt na kutoa sare ya 0-0 dhidi ya Nigeria unawafanya Stars wasife na goli lolote kwenye michuano hii huku wakiwa na hasi -3.Iki kuweka matumaini ya kufuzu Stara inatakiwa iweze kushinda goli zaidi ya 4 katika mechi 2 zilizosaria huku wasiruhusu Nyavu zao kuguswa.(Endapo stars watashinda zaidi ya goli 4 ni lazima wamfunge Nigeria na Misri kwenye hiyo michezo miwili)

No comments:

UTAWALA WA KIHASPANIOLA KATIKA SOKA LA ULAYA

WAHISPANIA WAMETAWALA SOKA LA ULAYA.WAKATI WA KUJIULIZA Msimu uliopita Seville walitwaa ubingwa wa Ueropa league kwa kuifinga Liverpool 3-1...